BREAKIN NEWZZZ!!:- HUYU NDIYE BINGWA WA MATUSI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII TANZANIA ANAYETUMIA JINA LA BANDIA LA DOUGIE MASTA 15 NA 16 NI MALAYA INDIA!




BREAKIN NEWZZZ!!:- HUYU NDIYE BINGWA WA MATUSI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII TANZANIA ANAYETUMIA JINA LA BANDIA LA DOUGIE MASTA 15 NA 16 NI MALAYA INDIA!
Kwa muda mrefu sana sasa mitandao ya kijamii ya Tanzania imekuwa ikisumbuliwa na mtu anayetumia majina 2 ya bandia Dougie Masta 15 na baada ya kufungiwa na Instagram hivi karibuni akaanza kutumia jina jipya bandia la Dougie Masta 16. Amekuwa akitukukana matusi sana ya nguoni wananchi wengi wa Tanzania asiowafahamu, kwa jina anaitwa Janeth anaishi nchini India kwa kujiuza mwili wake kama walivyo Wasichana wengi wa Ki Tanzania huko India. Amekuwa bingwa wa kutukana matusi mpaka kufikia kuogopwa sana na wananchi wengi wa Tanzania watumiao Mitandao ya kijamii kila siku, katika shughuli yake ya matusi amekuwa akishirikiana sana na baadhi ya watu hapa bongo kwani kwa kawaida huwa anakuwa na habari nyingi za watu anaowatukana. Inasikitisha sana kuona Serikali yetu imeshindwa kabisa kuwathibiti watu kama huyu msichana ambao wameishia kuwa tishio kubwa sana kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii hapa nchini. Ni matumaini yangu kwamba something will be done na watu kama hawa ambao wanashiriki sana kuwakatisha tamaa wananchi kuhusu kuwepo kwa Serikali katika mitandao ya kijamii. Pia huko Instagram anatumia jina lingine la janety33.




Comments

Popular posts from this blog

TAZAMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU WAKIVUNJA AMRI YA 6 NYUMA YA DARASA>>VIDEO HII HAPA>>